Posts

Mwalimu wa Maisha na Elimu ya Maisha, Mafanikio

Image
Ulikuwa wakati mzuri na siku mbili zenye ujazo wa mawazo mapya ya aina yake, yenye kubadilisha fikra na mtazamo wa kimaendeleo kama kijana. Nilikutana na Mr Felix Lufungulo   Felix Lufungulo  Mwalimu mstaafu ambaye ana historia katika kuanzishwa kwa shule moja ya msingi ya Rwamashaju wilayani Kyerwa Pamoja na Kuanzishwa kwa Shule ya Sekondari Nyabishenge. Makabidhiano ya karatasi ya Product Kati ya mengi aliyonigusia ni pamoja na kurasa za vitabu vitatu vya Robert Kiyosaki, Mwandishi maarufu wa nchini Marekani, ambavyo ni  1: Poor_Dady_Rich_dady, The  2: Cashflow_Quadrant na  3: The_21st_Century_busness. Kiyosaki anatumia muda wake mwingi kutazama familia moja ambayo baba wa familia ni mkufunzi wa chuo kikuu lakini kipato chake hakitoshi kukidhi mahitaji yake, familia yake pamoja na kutimiza ndoto zake, Ila kwa upande mwingine familia ambayo baba wa familia hana elimu kubwa lakini ni fundi gereji lakini ameweza kutimiza ndoto zake nyingi na maisha yake yanamnyok...

Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Imeupiga Mwingi Miaka 60 Ya Uhuru

Image
Kuelekea maazimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika ambayo baadae ilikuja kuungana na Zanzibar na kuunda Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Serikali iliweka utaratibu wa kila wizara kutoa tathmini ya mwelekeo ya wizara yake kuanzia Miaka ya 1961 mpaka sasa, Jumamosi ya Novemba, 13 wizara wa Utamaduni Sanaa na Michezo iliyopo chini ya waziri Mheshimiwa Innocent Bashungwa, imewakilishwa na naibu waziri wa Wizara hiyo Bi. Paulin Gekulu ambapo amekutana na waandishi wa habari ili kueleza mafanikio, changamoto na mwelekeo wa sekta hiyo katika miaka 60 ya uhuru, Tangu Tanzania ipate uhuru, Wizara hii imeendelea kuwepo ikiwa na sekta kuu tatu licha ya kuwa sekta hizo zimekuwa zikiwekwa katika wizara mbalimbali, ambapo tumeshuhudia pia kwa mwaka huu Wizara hiyo ilibadilika kutoka kuwa Wizara ya habari utamaduni Sanaa na Michezo na kuwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Katika nchi zote ulimwenguni Utamaduni ndio nguzo mhimu sana katika kutengeneza na kuimaliza misingi ya kimaadili hivy...

Amazing Class Tour

Image
Tanzania has five biggest tourist attraction among is Ngorongoro Conservation area which is located at Karatu Arusha Tanzania The popular attraction is Ngorongoro cretor which consists of not less than 2500 animals including the five big animals in Tanzania also  The Olduvai Gorge Museum which has the history of the skeleton of the first human being in the world BAMC 3 Print developed a desire to vist Ngorongoro as the study tour so as to learn how to conserve the environment and impart knowledge environment as per Environmental Journalism is concern The journey started on St. Augustine University of Tanzania Mwanza around 5:00pm and  on next day at 10:00am students were already at Ngorongoro Conservation area Main get were all entrence cost for Ngorongoro cretor and Olduvai Gorge Museum are being conducted, Around 12:00pm our busy were leady to take us to  Olduvai Gorge Museum, The Ngorongoro Conservation area Management gives us one tour guider who was exposing more exp...

Ijue Bodi Ya Maji Bonde la Ziwa Victoria

Image
Bonde la ziwa Victoria ni eneo ambalo mtiririko wake wa maji unaishia katika ziwa Victoria,   Wanafunzi wa Mawasiliano ya Uma kutoka SAUT katika picha ya pamoja na PRO wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria  Engr. Gerald Itimbula 📸 SR Janeth Bonde hili linafuata mipaka ya kihydrojia ( Mtiririko wa maji). Bonde la ziwa Victoria linagusa Mikoa sita ya Tanzania    ambayo ni Kagera, Geiter, Mwanza, Simiyu, Arusha ( Ngorongoro/ ngorongoro creta) Shinyanga ( Kishapu na Shinyanga Vijijini) pamoja na Mkoa wa Tabora ( Wilaya ya Nzega).  haya yaliundwa na serikali kwa ajili ya kurahisisha usimamizi wa rasilimali maji. na pia kutokana na kuwepo kwa utamaduni tofauti wa njia za utunzaji wa maji katika baadhi ya maeneo hivyo njia rahisi ilikua ni kuyagawa katika mabonde na kuachana na kusimamia kwa mifumo wa kiutawala. Chombo kinachosimamia Bonde kinaitwa Bodi. Nchini Tanzania kuna Mabonde Tisa (9) na Bodi Tisa za kusimamia, Bodi hizi zipo chini ya idara ya Maj...

Relationship Diluviate Student’s Performance

Image
By  Adrian  Audax  When I was at high school and secondary school, I observed my friends both boys and girls dropping in performance soon after exposing themselves in romantic relationship, my hypothesis was directly that it could be childhood and foolish age but the likewise situation am experiencing them also in university to undergraduate students. On this condition parents are being much curious, soon after realizing their sons and daughter and likely to be involved they directly advising them to stop  having early relationship instead they should focus on their studies. One of the influential writers in American literature Mr. James Badmils warns early relationship in his article of ” A talk to teacher”  exposing that relationship made students become depressed and lose a lot of  self-esteem which lowers  their performance in class. When they engage in relationship there is time where one side love ends hence break up and another side still harbor...

Making business pays than making job

Image
By Adrian  Audax  When comes to life people have different perception on which way can enable them gaining the income and survive, in fighting for life they believe making business and other looking and making jobs. The thing to remember in this debate is that at job you’re under boss, and everything is under control of bosses and when the business you’re the organizer comes and control of everything meaning that you are free. So people are they are limited much with their bosses and most of time the salary obtained is always depending on the economic status of boss and the nature of work. One of my fried is a teacher at a certain primary school, he always work from morning to evening and is salary per month is Tsh3 hundred thousand per month which is approximately to ten thousand per day, on the other side another friend of mine is doing the simple business and every day he come up with the interest of not less than thirty thousand per day which is three times that of one who...

Morocco National Team Wins Twice CHAN Cup

Image
After 2018 champion Morocco nation team have worn also the champion cup hosted in Cameroon by defeating Mali 2- 0 in the final game. By Adrian Audax Apart from Mali being the champion they managed to dominate the potential post in the competition as best player, best score, best keeper, and the best player in the final game with Mali. Soufine Rahim have been the icon in the competition being the top score of the competition and best player of the competition, being the best score he scores total of five goal out of 62 goals in all competition which is approximately to 1.94 goals per match. The team begins the competition in group C alongside with Togo, Rwanda and Uganda. Morocco wins against Togo and draw versus Rwanda which was the only draw in their competition in group stage and ended the last game in group stage wining 5 – 1 against Uganda and become the top in the group. The good performance in the group stage paves direct way toward quarterfinal where Morocco played with Cameroon...