Posts

Simple poems ( heart break)

Image
THE NOTATION Poet: Adrian Audax You have failed, It is real, To keep the simple promise, That bounded us. Looking my eyes dry, Doesn't mean no pain, Looking my ears open, Doesn't mean listening. It is true, People tongue created the way, The way your now trusting, And putting me aside, Like rotten Animal. Say hi to your soulmate, Whom i real respect, Living my emotions aside, Asking blessing upon your love. Personal am ok, Nothing than thanks giving, For little campan you grant on me, Surely, I was more than happy. When you close near my sight, Look carefully my eyes, Always holds, Greetings, thanks and complains.
Image
Sonbella Classic ~ KOSA GANI ( OFFICIAL VIDEO)

MAHAFARI YA KIDATO CH SITA NSUMBA SHULE.YA SEKONDARY

Image
Ndoto yangi ya kuachana na elimu ya viboko yaani Sekondari ilikoma mara baada ya kukabidhiwa mfano wa chati chagu cha elimu ya upili wa Juu na mkuu wangu wa shule   Sherehe iliyofanyika tarehe 19/04/2018 katika viwanja vya shule ya sekondary nsumba ambapo walimu,wazazi na wanafunzi walikutana kushiriki furaha ya miaka miwili ya watoto wao ya kimasomo shuleni hapo,  Sherehe hiyo ilihudhuriwa na meneja wa  Benk  NMB  (National M icrofinancial Bank)   KENYATA ROAD. Katika tafrija hiyo iliambatana na michezo mbalimbali kutoka kwa wanafunzi wnye vipaji. pia mwalimu mkuu alitoa historia fupi ya shule hiyo kuonesha kuwa imeanza mda mrefu sana yaani miakaya 1951. Aliongeza kwa  kuwahisi wanafinzi wahitimu kuwa na mipango mingi ya kimaisha hasahasa kujiajiri kutokana na kuwepo kwa wimbi kubwa la vijana wasio na ajira mtaani ma kupelekea kuongezeka kwa uharifi. Aidha amewapa moyo wazazi kuwa kutokana na matokeo ya mitihani yao miwili ya.kujipima GAUGIN...